LYRICS
Kamata, Kamata
Kamatika, kamata
Kamata, Kamata
Mpaka Chini, kamataKamata, Kamata
Kamatika, kamata
Kamata, Kamata
Mpaka Chini, kamataKamata kiuno, kamata bega
Kamata kichwa ka ndoo unabeba
Kamata kimini chalegalega
Wooh! Maana chashuka chini unanitegaAah! Mah! Yaleo kiboko
Mwali kanipa nyama kwa kisamvu cha kopo
Ana komesha toto
Nami naleta nyundo nimtwange kokotoKamata, Kamata
Kamatika, kamata
Kamata, Kamata
Mpaka Chini, kamataKamata, Kamata
Kamatika, kamata
Kamata, Kamata
Mpaka Chini, kamataEeeh! Kama gari ile vuum! vuum! (Vuum! Vuum!)
Mtoto mkali mchum mchum (Mchum! Mchum!)
Ikiwa ngangali ile ngumu ngumu (Ngumu! Ngumu!)
Nenda kamchinjie mbali kwa room roomSa Twende kamata
Kama unaisakata nyumba kwa bambata
Ile kinoma
Tegeta, Tabata fanya unaifatata
Za mbuzi kakataa, Amegoma Aaii!Kati kati, Chini Chini, Kamata
Kasi Kasi, speed 120, Kamata
Eeeh! Kama unamenya ndizi, Kamata
Police anashika mwizi, KamataAah! Mah! Yaleo kiboko
Mwali kanipa nyama kwa kisamvu cha kopo
Ana komesha toto
Nami naleta nyundo nimtwange kokotoNasema
Kamata, Kamata
Kamatika, kamata
Kamata, Kamata
Mpaka Chini, kamataKamata, Kamata
Kamatika, kamata
Kamata, Kamata
Mpaka Chini, kamata